iqna

IQNA

IQNA – Pazia jipya linalofunika Al-Kaaba Tukufu mjini Makkah, ambalo hujulikana kama Kiswa, limekabidhiwa rasmi kwa wasimamizi wa Msikiti Mtakatifu wa Makka yaani Masjid al Haram, ikiwa ni ishara ya mwanzo wa taratibu za kila mwaka za kubadilisha kiswahili hilo.
Habari ID: 3480813    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/09

Karbala ya Mwaka 1445
Kifuniko, kinachojulikana kama Kiswa, cha Kaaba Tukufu kinatarajiwa kubadilishwa katika siku ya kwanza ya mwezi wa maombolezo ya Muharram, mamlaka ya Saudi ilisema.
Habari ID: 3479079    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/06

Al Kaaba Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Jumamosi kumefanyika hafla ya kubadilisha pazia la al-Kaaba Tukufu linalojulikana kama Kiswa baada ya kuwadia mwezi wa Muharram 1444 Hijria, ambao ni mwezi wa kwanza katika kalenda ya Kiislamu.
Habari ID: 3475561    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/31

TEHRAN (IQNA)- Sherehe imefanyika mjini Makka Jumapili kubadilisha pazia la al-Kaaba Tukufu linalojulikana kama Kiswa.
Habari ID: 3471640    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/20